• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

RC Byakanwa akabidhi vifaa kwa Halmashauri ya Tandahimba

Posted on: May 19th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya  ya Tandahimba Sebastian Waryuba amekabidhi mabati,saruji ,tanki la maji na mpira vyote vikiwa na thamani  zaidi ya shilingi milioni 1.6 kwa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka vifaa ambavyo ni utekelezaji wa ahadi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa


Vifaa hivi ni utekelezaji wa ahadi ya Rc wa Mtwara katika ziara yake ambayo aliifanya Wilayani Tandahimba

Hafla hiyo ya makabidhiano  imefanyika katika shule ya Sekondari Nandonde ambapo Dc Waryuba amesema kuwa vifaa hivyo ambavyo vimetolewa vitumike kama ilivyokusudiwa na Rc Byakanwa

“Rc ametekeleza  ahadi aliyoitoa kwa wananchi wa Tandahimba , kwaiyo jukumu linabaki kwa watendaji kuhakikisha vifaa hivi vinatumika kama ivyokusudiwa na si vinginevyo,”amesema Waryuba


Dc Waryuba (kati)akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkurugenzi Mtendaji Said Msomoka (wapili kushoto)

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka amesema vifaa hivyo wahusika watavitumia kama ilivyokusudiwa ili kuleta maendeleo kwa shule na kwa Wilaya ya Tandahimba

“Tunamshukuru Rc kwa utekelezaji wa ahadi yake,nami naahidi vifaa vitatumika kama ilivyokusudiwa kwa walengwa kama saruji  na mabati  zitatumika katika kumalizia mradi wa choo Sekondari ya Nandonde na Mihambwe ,vile vile tanki la maji na mpira vitatumika ipasavyo maeneo kusudiwa,”amesma Msomoka

Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Chikongo Abdallah Bakar(kushoto)i  wakati akipokea  tanki la maji

Aidha Afisa Elimu Msingi (W)Hadija Mwinuka amemshukuru Rc na kueleza kuwa Tandahimba ni Halmashauri inayofanya vizuri kati ya halmashauri za Mkoa wa Mtwara kwenye zoezi la kampeni ya ‘Shule ni choo’


Afisa Elimu Msingi (W) Hadija Mwinuka akitoa shukrani kwa Rc kwa kutekeleza ahadi hiyo ya vifaa

“Tunashukuru Rc kwa kutekeleza ahadi yake kwenye kampeni ya Shule ni choo na sisi Tandahimba ni miongoni mwa Halmashauri ambayo utekelezaji wake umekuwa na  hamasa kubwa,”amesema Mwinuka

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa