• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Rc azindua Shule ya Msingi Luagala ‘B’ iliyokarabatiwa na Taasisi ya Eclat na Upendo

Posted on: February 26th, 2020

  Kaimu Mkuu wa Mkoa Sebastian Waryuba akimkabidhi Afisa Elimu Msingi Hadija Mwinuka Hati ya Makabidhiano ya shule ya Luagala 'B'

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zaidi ya Shilingi Milioni 154 zimetumika katika kujenga vyumba vitatu vya madarasa  na ukarabati wa shule ya msingi Luagala B  sambamba na kisima cha maji chenye ujazo wa Lita 150,000 kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya wananfunzi

Akizindua madarasa hayo Kaimu  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba alieleza kuwa  madarasa  yamekamilika pamoja na madawati 

Katika vyumba vitatu hivyo wanafunzi watasoma katika hali ya amani jukumu limebaki kwa wananfunzi kusoma kwa bidii  na kuitunza miundo mbinu hiyo


 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba akiwa na wafadhili wa mradi  taasisi ya ECLAT na Upendo

Alisema Mradi huo ambao umetekelezwa na Taasisi ya Eclat  na Upendo chini ya Meneja wa Mradi  ambaye ni mzawa wa kijiji cha Luagala B 

 umekabidhiwa kwa serikali na jukumu linabaki kwa wanakijiji kuitunza miundombinu ya shule

“Mradi huu  ni wa fedha nyingi,tunawaomba wananchi wa kijiji hiki muutunze ili  vizazi vijavyo na vijavyo vitumie,tunawashukuru taasisi hizi mbili Eclat kutoka Simanjiro  Tanzania na Upendo kutoka Ujerumani ambao wametekeleza mradi huu,lakini tunamshukuru  mzawa Msham Bashir ambaye amewaleta huku katika kijiji alichotoka  kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu ya Elimu,”alisema Waryuba 

 Shule ya Msingi Luagala 'B' ikiwa na muonekano mpya  baada ya mradi kukamilika

Naye Mwenyekiti wa Taasisi ya ECLAT Toima Kiroya alieleza kuwa katika mradi huo ambao wameutekeleza ni ukarabati wa majengo 8,ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa,kisima chenye ujazo wa lita 150,000,madawati 65,matundu  ya choo 16,Meza za walimu 16 na viti 16

Mbali na hilo naye Dk Fred Heimbach wa Upendo Society kutoka Ujerumani alieleza kuwa  madhumuni ya ushirika huo  ni kuboresha sekta ya elimu katika upande wa Miundo Mbinu  hivyo inatakiwa itunzwe ili iendelee kuwa msaada kwa  vizazi vijavyo

  Dk Fred Heimbach wa Upendo Society akiwa pamoja  na Mwenyekiti wa Eclat Toima Kiroya  

Hata hivyo Meneja wa Mradi huo Msham Bashir alieleza kuwa anaishukuru Serikali kwa kushirikiana  nao kuanzia ngazi ya Shule,kijiji  hadi 

Wilaya  na wananchi  wa Luagala

 

Meneja wa Mradi (Mzawa) Msham Bashir akiishukuru serikali  na wananchi kwa ushirikiano 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa