• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

NMB Tandahimba yakabidhi mabati 400 kwa Zahanati na Kituo cha Afya

Posted on: October 10th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandhimba  Mhe Kanali Patrick Sawala  amepokea mabati 400 yenye thamani ya Tsh.17,200,000,000(Shilingi Milioni kumi na saba na laki  mbili) kutoka Benki ya NMB tawi la Tandahimba

Akipokea vifaa hivyo vya uendelezaji wa kituo cha Mnyawa  na Zahanati ya Nachunyu Oktoba 10,2022 Dc Sawala amewapongeza Benki ya NMB kwa jnsi ambavyo inaunga mkono juhudi za Serikali katika shughuli mbalimbali za Maendeleo

‘Tunawapongeza benki ya NMB  kwa kutoa mabati  400 ambayo kila kituo kimepata mabati 200,Nmb wamekuwa wadau  wetu  wa maendeleo katika Wilaya yetu ambapo inatoa vifaa  katika sekta ya Elimu na Afya,tunawashukuru ,”amesema Dc Sawala

Aidha ametoa woito  kuhakikisha mabati ambayo yamekabidhiwa yanafanya kazi iliyokusudiwa na si vinginevyo  ambapo amewasistiza wananchi kuendelea kushiriki katika shughuli za ujenzi ili vituo hivyo  vikamilike na kuanza kutoa huduma

Naye Meneja wa Kanda  ya Kusini  wa Benki ya NMB Bi.Janeth Shango amesema kuwa  ni utaratibu wa benki hiyo kutoa  sehemu ya faida inayopata kurudisha kwa jamii ili kuunga juhudi za Serikali katika kuwaletea wananchi Maendeleo

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa