• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mwenyekiti atoa agizo la ununuzi wa mashine 3 za kukamulia alizeti

Posted on: May 3rd, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ametoa agizo la ununuzi wa mashine 3 za kukamulia mafuta ya alizeti kwa muda muafaka ili kuwawezesha wakulima kupata huduma hiyo ndani ya Wilaya

Amesema hayo katika baraza la madiwani  la siku mbili lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri baada ya ya baadhi ya madiwani kuhoji hatma ya wakulima ambao wamelima zao hilo kwa wingi

Wakuu wa Idara na vitengo wakifuatilia kikao cha baraza la madiwani

“Wakulima wetu tuliwahimiza walime mazao mbadala kama alizeti na ufuta,tunashukuru matokeo ya zao hilo yamekuwa makubwa kwa wakulima wetu,naagiza Halmashauri kuhakikisha  mashine hizo za kukamua mafuta ya alizeti yanafungwa haraka ili wakulima wakivuna waweze kupata huduma hiyo ndani ya Wilaya ya Tandaahimba,’amesema Mwenyekiti

Baraza la madiwani wakiwa katika kikao cha robo ya tatu

Aidha katika baraza hilo madiwani wamewasilisha na kujadili  taarifa za utekelezaji wa maendeleo ya kata zao sambamba na uwasilishaji wa taarifa mbalimbali  za kamati za kudumu katika  kipindi cha robo ya tatu

Katika kikao hicho baraza la madiwani lilipongeza taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Mussa Gama kwa kuwezesha utekelezaji wa ufungaji wa taa za barabarani zenye thamani ya shilingi Milioni 140

“Nachukua nafasi hii kumpongeza Mkurugenzi kwa kufanikisha ufungaji wa taa za barabarani na kuifanya Tandahimba kuwa na muonekano tofauti na wakuvutia hasa usiku,”amesema Mhe,Hamza Balakali Diwani wa kata ya Kwanyama

Naye Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala ametoa wito kwa baraza la madiwani kuhamasisha wananchi katika kata zao kushiriki katikaa zoezi la sensa ya watu na makazi  Agosti 23,2022

Dc Sawala akisistiza suala la sensa  katika kikao cha baraza la madiwani


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa