• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mwenge wa Uhuru waridhia miradi ya maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Posted on: April 5th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023 Ndugu.Abdalla Shaib Kaim  ameridhia  miradi ya maendeleo  ambapo amezindua miradi miwili na kuweka jiwe la msingi miradi mitatu

Miradi ambayo imezinduliwa  Aprili 5,2023 ni ujenzi wa nyumba ya watumishi wa afya(3 kwa 1) hospitali ya wilaya ya Tandahimba ambapo gharama ya mradi huo ni shilingi Milioni tisini (90,000,000)fedha kutoka Seikali kuu ambao utarahisisha watumishi  kutoa huduma kwa wakati

Mradi mwingine ambao umezinduliwa na Mwenge wa Uhuru ni  ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa shule ya Sekondari ya Tandahimba ambao thamani yake ni shilingi milioni themanini(80,000,000) fedha kutoka Serikali kuu

Aidha Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho cha Organic growth  ambapo gharama ya mradi shilingi bilioni tatu na milioni miatano (3,500,000,000),umeweka jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa ofisi ya Uhamiaji wilaya ya Tandahimba wenye gharama ya shilingi milioni milioni mia mbili ishirini na tisa laki saba tisini na mbili na  mia tatu kumi na tano (229,792,315)

Pia Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa barabara ya lami Km 1.715 ambao gharama yake ni shilingi Milioni mia tisa hamsini (950,000,000) na wameona vikundi vilivyopata mkopo wa Halmashauri ambapo  kiasi cha shilingi milioni mia moja hamsini(150,000,000) zimetolewa kwa vikundi ili kuwawezesha kiuchumi

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka  2023 “Tunza Mazingira Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe hai na Uchumi wa Taifa”

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa