• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MTAKUWWA Tandahimba wapewa mafunzo ya Ulinzi na usalama kwa mtoto

Posted on: June 1st, 2021

  

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wlaya ya Tandahimba ndg Said Msomoka amewataka wajumbe wa Kamati ya Mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) Wilaya ya Tandahimba kutekeleza kwa vitendo mpango huo kwenye maeneo yote ndani ya Wilaya

Wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA Tandahimba wakipatiwa mafunzo

Ameyasema hayo kwenye mafunzo ya siku tano ya kamati ya MTAKUWWA wilaya ya Tandahimba ambayo yamefanyika katika ukumbi wa mdogo wa mikutano wa Halmashauri ya Tandahimba.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya yaTandahimba Ndg.Said Msomoka ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati hiyo akitoa neno kwa wajumbe

“Kamati hii natumaini mtakwenda kuleta mabadiliko katika jamii kwakuwa wajumbe ni wataalam na wengine mmetoka katika asasi mbalimbali hivyo  mafunzo yatalete mabadiliko  ndani ya jamii zetu,”amesema ndg.Msomoka

Aidha naye mwezeshaji wa Kitaifa wa mafunzo hayo Dereck Rugina amesema kuwa mada mbalimbali ambazo wajumbe wamefundishwa ikiwemo ulinzi na usalama kwa mtoto  zitakwenda kuleta matokeo chanya kwa wajumbe kwa kufikisha elimu hiyo ngazi ya kata,mitaa na vijiji

Mwezeshaji Dereck Rugina akitoa mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya MTAKUWWA

 Amesistiza kuwa jukumu la kumlinda mtoto ni la jamii nzima hivyo wananchi wakishirikiana kwa pamoja wataendelea kumlinda mtoto na vitendo vya ukatili ambavyo wanafanyiwa katika maeneo mbalimbali

Mwenyekiti wa mafunzo akitoa neno kwa niaba ya washiriki wote wa mafunzo hayo

Akizungumza kwa niaba ya washiriki wote mwenyekiti  wa mafunzo hayo amesema kuwa mafunzo  yataleta mabadiliko makubwa katika kupinga ukatili dhidi ya watoto kwenye maeneo mbalimbali ya Tandahimba.

Washiriki wakiwa kwenye mafunzo

  

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa