• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mratibu TASAFTandahimba awataka wasimamizi kuzingatia taratibu za fedha kwenye malipo

Posted on: February 15th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Halmashauri ya Tandahimbas Ismaely Mbilinyi amewataka wasimamizi wanaokwenda kusimamia malipo kwa kaya maskini kuzingatia na kufuata taratibu za fedha katika malipo hayo

Wasimamizi  wa kusimamia malipo  kwa kaya maskini wakika katika mafunzo

Ameyasema hayo  leo tarehe 15/2/2021kwenye semina elekezi  wakati akitoa mafunzo kwa wasimamizi hao kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri

“Katika malipo ambayo mnakwenda kufanya mnatakiwa kumlipa mlengwa  si mtu mwingine  mlengwa mwnyewe  ndiye muhusika mkuu katika zoezi hili  hii itatusaidia kufuata taratibu za kifedha katika malipo haya,”amesema Mratibu


Mratibu wa TASAF Tandahimba Ismaely Mbilinyi akitoa mafunzo kwa wasimamizi wa  kusimamia malipo kwa kaya maskini

Aidha amesema kuwa zoezi hilo la malipo  litaanza tarehe 16/2/2021 na litamalizika tarehe  19/2/2021 ambapo  awali  shughuli hizo zilikuwa zinafanywa na kamati za jamii lakini  kwa sasa mfumo huo umebadilika na unafanywa na watumishi wa Halmashauri

Wasimamizi wa kusimamia malipo kwa kaya maskini  wakimsikiliza  mwezeshaji wa semina hiyo

Wasimamizi wa malipo hayo kwa nyakati tofauti wamesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia katika maeneo yao na hivyo kutekeleza majukumu  kwa kufuata taratibu na kanuni  zinazohitajika katika zoezi hilo

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa