• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mradi wa ufugaji kuku watua Tandahimba

Posted on: January 5th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kaya 30 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  zimepata kuku wa mayai kwa msaada wa mradi wa kupunguza umaskini na kuongeza kipato kupitia ufugaji ambapo kuku 600 wametolewa kwa kaya hizo

Wananchi wakipokea kuku aina ya saso  na kuroila

Akizungumza na wananchi hao  kabla ya kuwakabidhi kuku hao Daktari  mtafiti wa mifugoEmmanuel Mahenga amesema kuwa mradi unawezeshwa na serikali ili jamii iweze kuongeza kipato kupitia ufugaji

Mkazi Nanhyanga akifurahia mradi wa kuku

 “Tunawapa kuku wa aina mbili saso na kuroila muwafuge ili kupunguza umaskini na kuongeza kipato cha familia na zao linalopatikana katika ufugaji  kama vile mayai yatasaidia kupata fedha na kutumika kula ili kuwa na afya njema,”amesema Dk Mahenga

Naye afisa Mifugo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Robert Mwanawima amesema kuwa  wataendelea kuwafatilia  kuku hao kwa kuwapa matibabu na ushauri pale ambapo itajitokeza  kuna tatizo lolote ili waweze kuleta tija kwa jamii hiyo

Afisa Mifugo Robert Mwanawima  akipongezwa na mwananchi baada ya kutoa maelekezo ya ufugaji

Mkoa wa Mtwara  mradi huo unatekelezwa kwa  Halmashauri tatu  ikiwemo Tandahimba ambapo vijiji vya Mihule,Nanhyanga A na Nanhyanga C ni  miongoni mwa  vijiji ambavyo vimefikiwa  

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa