• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mgombea wa CCM Katani Katani aibuka mshindi Ubunge Jimbo la Tandahimba

Posted on: November 2nd, 2020

 

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tandahimba Said Msomoka  ametangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa nafasi ya Ubunge  ambapo  Katani Ahamad Katani ameibuka kuwa mshindi kwa kupata kura 51051 kati ya kura 85896

Akisoma matokeo hayo  amesema kuwa vyama vilivyogombea ni sita,idadi ya waliopiga kura ni  85896  kura zilizoharibika ni 9803 vyama  hivyo ni CCM Katani Katani amepata kura 51051,ACT Alphonce Hitu  kura 20799,Chadema Nasra Tayari 6827,CUF Makumbuli Uledi  kura 4152,,ADC Hamis Hassan kura 1863,NCCR Mageuzi Mbaraka Tayari 1204

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tandahimba Said Msomoka mara baada ya kumtangaza Mshindi

Aidha amesema kwa upande wa nafasi ya Urais katika Jimbo la Tandahimba CCM imepata kura 51175,CHADEMA kura 28915,ACT kura 2277,NCCR  kura 223,ADC kura 212,CUF kura 1020,AFP kura 65,UMD  kura 43,CHAUMA kura 271,UPDP kura 87,DP kura 90,MAKINI kura 110,SAU kura173,TADEA kura 406 na NRA kura 1087

Naye Mshindi kwa nafasi ya Ubunge Katani Katani amewashukuru wananchi wa Ta ndahimba kwa kumuamini kumpa nafasi hiyo  na kuwaahidi kuwa atayatekeleza yale ambayo amewaahidi kwenye kampeni

Mshindi wa Ubunge Jimbo la Tandahimba Katani Ahmad Katani mara baada ya Kukabidhiwa hati ya kuchaguliwa

“Nawashukuru wana Tandahimba kwa kuniamini wameonyesha imani yao kwangu,nami nawaahidi nitakwenda kutumikia kwa uadilifu mkubwa na nitatekeleza yale ambayo nilikuwa  nayaahidi wakati wa kampeni,”amesema Katani

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba naye akitekeleza haki yake ya msingi ya kupiga kura

Uchaguzi katika Jimbo la Tandahimba kwa upande wa nafasi ya Udiwani  kwa Kata 32,CCM imeweza kuchukua Kata 30 ,kata moja ya imechukuliwa na ACT na Kata moja ya Miuta uchaguzi unatarajiwa kurudiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa