• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MFUMO WA UTOAJI MREJESHO KWA MTEJA UTABORESHA HUDUMA YA MAMA NA MWANA NA KULETA UFANISI KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA" MKUTI.

Posted on: February 23rd, 2024

Na Kitengo cha Mawasiliano. 


Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Ndg.Francis Mkuti amewataka washiriki  wa mafunzo ya Mfumo wa kidigitali wa ukusanyaji wa maoni ya Mama na Mwana kuzingatia mafunzo hayo ili kuboresha huduma  za mama wajawazito na watoto wenye siku 28 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

Akifungua mafunzo ya siku moja leo Februari 23,2024 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ambapo washiriki ni Watoa huduma za afya ,Watendaji wa Vijiji na wahudumu wa afya ngazi ya jamii (WAJA) amesema kuwa mfumo wa utoaji mrejesho utaongeza ufanisi kwa wataalamu na kujitathimini.

" Mkazingatie mafunzo haya ili kufanikisha na kuleta matokeo mazuri ya Serikali ya kuboresha huduma kwa Mama na Mwana kwenye Halmashauri yetu,lakini mfumo huu utawezesha wataalamu kila mmoja kwenye eneo lake kujitathimini na kuwa na takwimu sahihi za mama wajawazito na watoto wa mwezi mmoja ," amesema Mkuti

Kwa upande wake Mwezeshaji Dkt..Makarioss Makarioss amesema mafunzo hayo  yanalenga  kuboresha huduma za mama na watoto wachanga ili kuhakikisha wakina mama wanapokwenda kupata huduma za kliniki wanatoa maoni ya huduma walizopata ambayo yatarudisha mrejesho kwa watoa huduma na kituo husika.

" Mama Mjawazito akifika kliniki ataelekezwa jinsi ya kutumia mfumo huu kwa kutumia simu yoyote ambapo atajisajili na kuaandika neno Mama  kwenda namba 15077 buree na atakuwa anaulizwa huduma alizofanyiwa katika kituo alichohudhuria,mfumo huu hautaonesha jina wala namba  yake,itaonesha maoni yake,hapo awali mfumo uliokuwa unatumika ni sanduku  la maoni lakini ilikuwa ni naira kukuta maoni," amesema Mwezeshaji

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  Mwl.Sostheness Luhende amesema washiriki wahakikishe  mafunzo hayo yataleta maboresho katika  huduma ya mama na Mwana kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba na kupunguza Vifo vya mama na mtoto.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa