• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MAMA LISHE NA BABA LISHE TANDAHIMBA WAPEWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

Posted on: February 6th, 2025


Wajasiriamali  wa biashara ya chakula maarufu Baba Lishe na Mama Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wamepewa Elimu ya Matumizi sahihi ya nishati safi ya kupikia ili  kutunza afya zao,kuokoa muda wa kupika sambamba na utunzaji wa mazingira . 


Mafunzo hayo yameandaliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kupitia Idara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji  ambayo yamefanyika leo Februari 6,2025. 


Akizungumza  na wajasiriamali hao Mkuu wa Idara ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji Winifrida Robson amesema lengo la mafunzo hayo ni kutoa elimu ili kuhama kutoka kwenye matumizi ya nishati chafu za kupikia ambazo ni kuni na mkaa na kuhamia kwenye nishati safi za kupikia .


Kwa upande wake Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ASF.Elizabeth Mpondele amewasilisha mada na kuwasistiza wajasiriamali kuchukua tahadhari ya nishati hizo kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza .


Naye Meneja wa Benki ya Ushirika Tawi la Tandahimba(COOP BANK) Baraka Ondiek amewahimiza wajasiriamali hao kutumia benki hiyo  ili kuwainua kiuchumi kwa kuomba mikopo yenye riba nafuu kufikia  malengo yao.


#Tandahimba tumejipanga kazi zin

aendelea

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa