• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mahudhurio ya Wanafunzi wa kidato cha Kwanza kuripoti Shule yaongezeka

Posted on: January 25th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mahudhurio ya wanafunzi wa kidato  cha kwanza  kuripoti shule yanaendelea kuongezeka ambapo hadi kufikia leo wanafunzi  asilimia  81 wameripoti shule katika  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Akitoa taarifa ya warioripoti shule kwa kidato cha kwanza  Januari 25,2023 Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Mwl.Sosthenes Luhende kwa Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba  Mhe.Kanali Patrick Sawala amesema kuwa wanafunzi  waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza Jumla yao ni 5,288 wavulana 2525 na wasichana 2763 ambao hadi leo walioripoti shule ni asilimia 81

Aidha amesema kuwa walioripoti  shule 4107 sawa na asilimia 81,waliohamia shule za umma 176 waliohamia shule binafsi 20 na ambao hawajaripoti mpaka jana januari 24,2023 ni wanafunzi 985sawa na asilimia 102,Awali maoteo ni 7305 walioandikishwa 6953

Kwa upande wa darasa la kwanza  maoteo ni 6808 walioandikishwa ni 6945 sawa na asilimia  102,awali maoteo 7305 walioandikishwa 6953

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amepongeza jitihada za viongozi ngazi ya vijiji, kata na tarafa kufanikisha  wanafunzi hao kuripoti shule ambapo sasa wanafuatwa nyumba hadi nyumba “Operesheni ripoti shule”

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa