• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MAFUNZO YA ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA YATOLEWA KWA WATAALAMU TANDAHIMBA .

Posted on: May 31st, 2025

Wakuu wa Idara na vitengo pamoja na Watendaji Kata 32 wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wamepatiwa mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala bora ili kujenga uelewa wa pamoja wa haki na wajibu katika utekelezaji wa majukumu .


Mafunzo hayo yamefanyika leo Januari 31,2025 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Mkuu wa Wilaya ambapo  Mwezeshaji Ndg.Nicholous Mhagama akiwasilisha mada kwa washiriki  amesema Elimu hiyo inatolewa ili kuwakumbusha  kuzingatia miongozo ,sheria,taratibu na kanuni sambamba na kufanya mikutano na wananchi ili kuibua miradi ya Maendeleo. 


Naye Mwezeshaji Ndg.Prosper Kisinini amesema  kiongozi anatakiwa kuzingatia Misingi ya Utawala bora kwa kutoa maamuzi sahihi kwa Wakati Uadilifu,Uwazi na utoaji wa huduma kwa usawa,Ushirikishwaji,ufanisi wenye  tija.


Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Karimu Mputa akifunga mafunzo hayo amewahimiza Watendaji wa Kata kuzingatia miongozo kwenye utekelezaji wa majukumu yao.


Mafunzo hayo yameandaliwa na Wizara ya Sheria na Katiba.


#Tandahimba tumejipanga kazi zi

naendelea

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa