• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Madiwani wapata mafunzo ya mfumo wa ujifunzaji kielektoniki (MUKI)

Posted on: January 25th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliao

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amefungua mafunzo ya mfumo wa ujifunzaji Kielektroniki (MUKI) kwa madiwani wa Halmnashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Madiwani wakimsikiliza Dc Sawala (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo

Amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku katika maeneo yao ili wananchi waweze kupata maendeleo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa akifafanua jambo

“Madiwani katika mafunzo  wawezeshaji watatoa mada mbalimbali  ambazo zitawasaidia katika utekelezaji wa majukumu yenu,”amesema Dc Sawala

Aidha amesistiza madiwani kuendelea kusimamia masuala ya elimu,kilimo,ulinzi na usalama na  wananchi kuendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo katika maeneo yao

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Patrick Sawala akifungua mafunzo ya madiwani

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba akifunga mafunzo amesema anatumaini mafunzo hayo muhimu watayatendea kazi na kuwaahidi kuwanunulia vishikwambi(tablets) ili kuboresha utendaji kazi

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Tandahimba ndugu Mussa Gama  akifunga mafunzo hayo

“Wawezeshaji wameeleza  changamoto ya mtandao wakati wakitoa mafunzo ya mfumo lakini naamini kwa muda wa siku mbili mafunzo haya mtayafanyia kazi ili kuboresha utendaji kazi kwa wananchi,”amesema 


Wawezeshaji wakiwasilisha mada kwa madiwani

Katika mafunzo hayo ya siku mbili ambayo yalianza Januari 24,2022 na kufungwa leo Januari 25,2022  wawezeshaji wameweza kuwasilisha mada mbalimbali ikiwemo mfumo wa ujifunzaji kielektroniki

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa