• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Madiwani Tabdahimba wataka Uongozi Mpya Mfuko wa Elimu

Posted on: August 19th, 2022

Na Kitengo Cha Mawasiliano

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba limemuagiza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilya ya Tandahimba Ndugu Mussa Gama kusimamia ili kuweza kupata viongozi wapya wa Mfuko wa Elimu baada ya Viongozi waliokuwepo kumaliza muda wao

Akifunga Kikao cha baraza la Madiwani cha robo ya nne Agosti 19,2023 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa  amesema kuwa kwa mujibu wa sheria na taratibu kwasasa mfuko huo hauna viongozi  hivyo jitihada zifanyike haraka ili kupata uongozi mpya

"Tukuagize Mkurugenzi ulisimamie ili tupate uongozi mpya wa Mfuko wa Elimu,yatolewe matangazo haraka ili watu waombe kwa nafasi ya Mwenyekiti ili mfuko uendelee kutekeleza majukumu yake,mfuko huu ni muhimu kwa maendeleo ya Elimu katika Halmashauri yetu,”amesema Mwenyekiti

Aidha madiwani wamesistiza uboreshaji wa huduma katika jengo la mionzi na ununuzi wa genereta”Tunaazimia  kama baraza tutenge fedha iwe popote nje ya bajeti ili tupate chumba cha Mionzi  ambacho kitafungwa Xray ya kisasa ili wananchi wapate huduma bora sambamba na ununuzi wa genereta,”amesema Mwenyekiti

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MFUKO WA ELIMU October 31, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Soma

Habari mpya

  • Vijana Tandahimba washiriki upandaji miti na usafi wa mazingira

    March 21, 2023
  • Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yaanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyajI Mapato TAUSI

    March 13, 2023
  • Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akabidhi Pikipiki 64 kwa maafisa Ugani Tandahimba

    March 10, 2023
  • Serikali itaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi

    March 08, 2023
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa