• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Madiwani Halmashauri ya Malinyi wafanya ziara Tandahimba kujifunza Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

Posted on: February 28th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Waheshimiwa Madiwani na baadhi ya wataalamu  wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi iliyopo Mkoani Morogoro wamefanya ziara ya kujifunza Mfumo wa stakabadhi Ghalani katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Ziara hiyo ya siku moja imefanyika Februari 28,2023 ambapo walipata taarifa  kutoka kwa wataalamu wa Kilimo na Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  jinsi mfumo  huo unavyowanufaisha wakulima na kuongeza mapato ya Halmashauri

Aidha walitembelea katika  Ghala la chama cha msingi  Matogoro , Mitondi B na ghala kuu la Tandahimba na Newala(Tanecu) ambapo walipata taarifa ya jinsi wanavyoweza kutumia mfumo huo 

Akizungumza Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Mhe.Lucas Mwamahenga amesema kwamba mafanikio ya utumiaji wa stakabadhi ghalani utawasaidia katika Halmashauri yao ili waweze kuongeza mapato na kumnufaisha mkulima

”Elimu tuliyoipata ya stakabadhi ghalani itakuwa jawabu,mfumo tunaotumia sasa hata Halmashauri inapoteza mapato lakini sasa tunakwenda kuhamasishana ili tuanze kutumia mfumo huu,”amesema Makamu Mwenyekiti

Naye Mwenyekiti wa Halmasahauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amesema kuwa mfumo huo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba umeleta manufaa kuliko mfumo wa awali ikiwa pamoja na kuongeza mapato ya Halmasahauri

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa