• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Maafisa Maendeleo ya jamii ngazi ya kata wajengewa uwezo wa utumiaji wa mfumo wa TPL- MIS

Posted on: June 17th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Maafisa Maendeleo ngazi ya Kata wamejengewa uwezo wa  jinsi ya kutumia mfumo mpya(TPL MIS) wa utoaji wa mikopo ya asilimia kumi ya  wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambao utarahisisha upatikanaji wa mikopo hiyo

Maafisa Maendeleo ya Jamii wakiwa katika kikao kazi

Akifungua kikao kazi hicho leo Juni 17,2022 Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Aloyce Massau kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa mfumo huo utawawezesha wanavikundi kupata huduma katika maeneo yao waliyopo ambao utaanza rasmi Julai Mosi,2022

Ndugu .Aloyce Massau Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba akifungua kikao kazi

“Tunahama katika usajili kwa kutumia makaratasi na sasa tutatumia mfumo ambao utarahisisha mikopo kwa haraka ,maafisa maendeleo watafanya usajili  katika maeneo yao ya utendaji,”amesema Ndugu Massau

Aidha amesema kuwa lengo la mfumo huu ni kuhakikisha kuwa hakutakuwa tena na vikundi hewa,hakuna mtua ataomba mkopo zaidi ya mara moja,utarahisisha utunzaji wa kumbukumbu hivyo watapata mikopo kwa haraka na watasajili vikundikwa uhakika

Naye Afisa Maendeleo kata ya Namikupa Bi.Kissa Mwakabana ameshukuru kwa kikao kazi na kueleza kuwa Mfumo huo utawawezesha kusajili vikundi katika maeneo yao na utapunguza wana vikundi kuja makao makuu ya Wilaya badala yake watapata huduma hizo katika maeneo husika

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa