• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Maafisa Elimu Kata na Walimu Wakuu watakiwa kuhakikisha wanafunzi wote wa Drs la Pili wanamudu KKK

Posted on: November 12th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Maafisa Elimu Kata na Walimu Wakuu wa Shule za Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wametakiwa kusimamia na kuhakikisha wanafunzi wa darasa la pili wanamudu  Kusoma,Kuandika na Kuhesabu (KKK) sambamba na kusimamia upatikanaji wa lishe katika shule zao

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Robert Mwanawima wakati akizunguma na Maafisa Elimu Kata 32 na Walimu Wakuu 127 katika kikao  cha Tathimini  ya Ufanyikaji  wa Mitihani ya kumaliza elimu ya Msingi na Upimaji wa Darasa la nne mwaka 2022  kilichofanyika Novemba 12,2022 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Tandahimba

 “Nawapongeza kwa kumaliza  Mitihani salama,mkayasimamie na kuyatekeleza  yale ambayo  tumeazimia katika kikao chetu ili tuendelee kuboresha Elimu katika Halmashauri yetu kikubwa ni kuondoa tatizo la watoto wasiomudu KKK ili waweze na kuendelea darasa linguine,”amesema Ndg.Mwanawima

Aidha amesistiza Walimu Wakuu kuenddelea kutoa Elimu ya Uelewa kwa  wazazi na walezi waweze kuchangia chakula shuleni  ili wanafunzi wote waweze kupata lishe hatua ambayo itasaidia kupunguza utoro mashuleni lakini pia itaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi  kwa kuhudhuria vipindi kwa ufanisi

Nao Maafisa Elimu Kata na Walimu Wakuu wameahidi kuyasimamia na kuyatekeleza maazimio ambayo tumekubaliana  ili kuleta mafanikio katika Elimu ndani ya Wilaya

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa