• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA YAZINDULIWA TANDAHIMBA

Posted on: January 27th, 2024


Katibu Tawala Wilaya ya Tandahimba Ndugu.Rashidi Hamidu Shabani  amewasistiza wananchi kutumia Wiki ya Sheria kupata Elimu  kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria na msaada wa kisheria kutoka kwa maafisa wa Mahakama ambao watatoa huduma hiyo kwenye maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Tandahimba.


Hayo ameyasema leo Januari 27,2024 wakati akizindua Wiki ya Sheria  akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba,  kwenye viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Tandahimba na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Wilaya,Watumishi,Wananchi na baadhi ya wanafunzi .


" Wananchi mjitokeze kwa wingi katika maeneo ambayo  watatoa msaada wa kisheria ili mpate elimu ya.masuala.mbalimbali ya Sheria kutoka kwa Maafisa wa Mahakama,Mahakama zetu zimeboresha huduma ambapo sasa zinatumia mifumo katika utoaji wa huduma mbalimbali," amesaema Katibu Tawala.


Kwa upande wake Mhe.Joseph Waruku Hakimu Mkazi.Mfawidhi Mahakama  ya Wilaya ya Tandahimba amesema  wananchi katika Wiki ya Sheria watapata fursa ya kupata Elimu ikiwa pamoja na kupata  msaada wa kisheria ,Uandishi wa Wosia,Usimamizi wa.Mirathi.na huduma mbalimbali.


Aidha amesema kuwa  maadhimisho hayo yameanza Januari 24,2024 yatahitimishwa Februari 1,2024 ambapo wananchi watapata fursa ya kuzungumza na kujadiliana na Maafisa wa Mahakama na wadau mbalimbali kwa lengo la kujifunza katika maeneo waliyotenga kutolea huduma ikiwa pamoja na Mahakama ya Wilaya ya Tandahimba. 


Kila Mwaka hapa Nchini Tanzania huadhimisha Wiki ya Sheria ambapo kauli mbiu ya Mwaka huu ni "Umuhimu wa dhana ya haki kwa ustawi wa Taifa: nafasi ya Mahakama na wadau katika kuboresha mfumo jumuishi wa haki jin

ai"

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa