• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

KU yafanya ziara ya kutembelea miradi ya Maendeleo

Posted on: September 15th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano     

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba  Mhe.Kanali Patrick Sawala akiwa  pamoja na Kamati ya Usalama (KU) Wilaya wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua  miradi ya maji ,Kituo cha Afya Litehu pamoja na ujenzi wa kiwanda cha kubangua Korosho Kitama

Ziara hiyo imefanyika leo Septemba 15,2022 ambapo KU ilianza kwa kutembelea chanzo cha maji cha Mitema  kasha mradi wa maji  Mkwiti ili kuona shughuli zinazoendelea ikiwa pamoja na matanki ya kuhifadhia maji

Wakiwa katika Kituo Cha Afya Litehu walikagua ujenzi wa jengo la kufulia na jengo la upasuaji mama na mtoto ambao unatekelezwa kwa fedha Kutoka Serikali Kuu kiasi cha Shilingi Mil.250 na kuridhishwa na maendeleo ya majengo hayo

Dc Sawala akiwa katika mradi wa maji Mkwiti alisikiliza kero za wananchi wa mangombya  kuhusu kukosa maji kwa muda wa wiki tatu Ambato alitoa ufafanuzi kuwa kuna matengenezo ya mambomba yanaendelea katika chanzo cha  maji Mitema lakini aliagiza wataalam kufungulia maji yaliyopokatika tanki la  Mkwiti ili  wananchi waweze kupata huduma  hiyo huku wakisubiri matengenezo yakamilike

“Poleni kwa kukosa  maji kuna matengenezo katika chanzo cha maji Mitema unaendelea tumefika huko na tumeona kazi inaendelea,kwa sasa wataalamu nimewaagiza wafungue maji yaliyopo katika tanki ili watanzania mpate maji,nawasistiza wataalam  kuwapa taarifa wananchi endapo kuna matengenezo mnafanya kupitia viongozi wao wa vijiji,wao hawawezi kujua kinachoendelea bila kuambiwa,”amesema Dc Sawala

Aidha  wakiwa katika mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho Dc amempongeza  mwekezaji  ambaye ni mzawa kwa kuwekeza Tandahimba  ujenzi wa kiwanda hicho  chenye thamani ya shilingi Bil.2.5 ambacho kitatoa fursa kwa wananchi kupata ajira

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa