• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kiasi cha sh.Bil 1.76 za Uviko -19 kujenga Madarasa 88 Tandahimba

Posted on: October 27th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Mussa Gama amepokea fedha kiasi cha shilingi Bil. 1.76  kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa vyumba  vya madarasa 88

Mkurugenzi Mtendaji ndg Mussa Gama taarifa ya jinsi ya kutekeleza miradi hiyo kwa wakati

Fedha hizo za Mpango wa Maendeleo  ya Taifa na mapambano  dhidi ya UVIKO-19 zimetolewa na Serikali kuu ili kuboresha sekta ya Elimu katika Wilaya ya Tandahimba naTanzania kwa Ujumla

Fedha hiyo itatekeleza ujenzi wa vyumba vya madarasa 82 kwa shule za sekondari  na vyumba vya madarasa shikiziki 6 kwa shule za Msingi tatu ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ambapo kila darasa moja litakamilika kwa gharama ya shilingi Mil.20

Mkurugenzi Mtendaji Ndg Gama akitoa ufafanuzi  wa jambo kwa wasimamizi wa miradi ya madarasa 88 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri

Mkurugenzi  amefanya kikao kazi na wasimamizi wa miradi hiyo ili kuhakikisha miradi inakamalika kwa wakati lakini pia kwa kutumia njia ya ‘Force Account’ kwa usahihi ili madarasa hayo ifikapo January 2022 wanafunzi wa kidato cha kwanza waweze kutumia

Wasimamizi wa miradi ya vyumba vya madara wakiwa kwenye kikao kazi

Aidha  hatua ya uchimbaji wa misingi katika maeneo ambayo miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa itatekelezwa inaendelea ndani ya Halmashauri ya Tandahimba i

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WA KAMATI YA FEDHA WILAYA YA TANDAHIMBA WAKIWA MKOANI SIMIYU NA MATARAJIO YAO KWA WANANCHI

    June 10, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 10, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa