• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kiasi cha Mil.213.1 zatumika kwenye malipo ya walengwa 6175 Tandahimba

Posted on: July 20th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kiasi cha Shilingi  213,100,000 kimetumika kwenye malipo ya walengwa  6175 wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Wilaya ya  Tandahimba kati ya walengwa 6225  huku kiasi cha shilingi  1,472,000 kimebaki  baada ya walengwa 50 kutoshiriki kwenye zoezi hilo kwa sababu mbalimbali


Hayo yamebainishwa kwenye taarifa ya  tathimini ya zoezi la malipo na Mratibu wa TASAF Wilaya ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi ambapo amesema  malipo ya mwezi wa 3 na 4 yamefanyika kwa siku tano mwanzoni mwa mwezi Julai mwaka huu katika maeneo husika


Malipo hayo yamefanyika kwa  vijiji 88 ambavyo vipo kwenye mpango Wilayani Tandahimba ambapo wawezeshaji wa malipo walizingatia kanuni na sheria katika kuendesha zoezi la malipo kwenye vijiji

“Kaya 50 ambazo hazijashiriki malipo zilikuwa na sababu mbambali  ikiwemo vifo,walengwa kutokuwepo kwenye maeneo yao wakati wa malipo na walengwa wengine wamefuzu na kujiondoa kwenye mpango,lakini kwa ujumla zoezi limemalizika vizuri”amesema Mratibu


Aidha amesema kuwa miongoni mwa changamoto ambazo zimejitokeza katika zoezi hilo ni pamoja na  baadhi ya walengwa kutokuwa na vitambulisho  na walengwa wengine majina yao kutoonekana katika orodha ya malipo

  

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa