• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kaya 5758 zakidhi vigezo kuendelea na mpango wa malipo ya TASAF Tandahimba

Posted on: September 3rd, 2020


Na Kitengo  cha Habari na Mawasiliano

Mfuko wa Maendeleo ya Jamiii (TASAF) Halmashauri ya Tandahimba umefanikiwa kuhakiki Kaya  maskini 5758 katika zoezi la uhakiki wa kipindi cha pili  awamu ya tatu ambazo zitaendelea na mpango wa malipo kati ya kaya 6873 zilizokuwepo awali

Kaya ambazo zilifika katika zoezi la uhakiki kwenye vituo mbalimbali ni Kaya 6271 na Kaya 604 hazikuweza kufika kwenye uhakiki kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuwa nje ya maeneo yao  kwa shughuli mbalimbali

Walengwa wakisubiri  kuhakikiwa katika zoezi hilo

Mratibu wa TASAF Halmashari ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi amesema kuwa kati ya Kaya 6271 ambazo zimehakikiwa kaya 313 zimeondolewa kwenye  mpango  wa malipo baada ya kupoteza sifa za kuendelea

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Tandahimba Ismaely Mbilinyi

“Ambao hawakufanyiwa uhakiki hawataweza kuingizwa kwenye mpango  wa malipo mwezi Julai na Agosti lakini zoezi limeenda vizuri kwa wakati uliopangwa na uhakiki umefanyika kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na tumefanikiwa katika hilo,”amesema Mbilinyi

Baadhi ya changamoto ambazo zimejitokeza katika zoezi la uhakiki wa kipindi cha Pili awamu ya tatu ni pamoja na  muda kuwa mdogo hivyo  baadhi ya walengwa kutofanyiwa uhakiki


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa