• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kampeni ya ondoa mapori ongeza uzalishaji yashika kasi Tandahimba

Posted on: January 23rd, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Katika kuongeza  uzalishaji wa zao la Korosho  Halmashauri ya Tandahimba na Chama kikuu cha ushirika Tandahimba na Newala (Tanecu)  wamekabidhi misumeno(chain saw)  14 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 25 kwa Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (kushoto) akimkabidhi mashine Afisa Tarafa ya Namikupa Boni Minga(Kati)

Akikabidhi misumeno hiyo kwa maafisa Tarafa  Dc Waryuba amesema kuwa misumeno hiyo ikatumiwe kama ilivyokusudiwa ili iweze kuleta mafanikio  katika kampeni ya ondoa mapori ongeza uzalishaji ambayo imeanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa

“Misumeno hii tunaigawa kwa tarafa zote saba ikatumike ilivyokusudiwa tusisikie inafanya kazi tofauti nia yetu tuongeze uzalishaji katika Wilaya yetu,kuna mikorosho ina miaka zaidi ya miaka 70 imepunguza  uzaliashaji,”amesema Dc Waryuba

Dc Waryuba akikabidhi  mashine kwa Afisa Tarafa wa  Mchichira Doto Nyirenda

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Said Msomoka  amesema Halmashauri imenunua misumeno 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 12 ili kuongeza uzalishaji ili wakukuza pato la wananchi na kuongeza mapato yatokanayo na zao hili

Mkurugenzi Mtendaji ndg Said Msomoka(kushoto) akimkabidhi mashine7 za chain saw Dc Waryuba(kulia)

“Tumekabidhi mashine hizi ili kuunga mkono kampeni ya Ondoa mapori ongeza uzalishaji   ili wananchi waongeze uzalishaji  waongeze kipato na sisi tupate mapato,”amesema Ndugu Msomoka

Aidha Meneja wa Chama  Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (Tanecu)Mohamed Nassoro amesema kuwa wametambua umuhimu wa kampeni hiyo kwa wakulima ili kukuza uzalishaji wa zao la korosho

Mwenyekiti wa Tanecu  akikabidhi mashine 7 kwa Dc Waryuba

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa