• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA USALAMA WILAYA YA TANDAHIMBA YATEMBELEA MIRADI YA VITUO VYA AFYA

Posted on: May 25th, 2023

Na Kitengo cha  Mawasiliano

Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Tandahimba(KU)  ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  wametembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa  vituo vya afya vitano vyenye Jumla ya gharama ya shilingi Bil. 2.3

Ziara hiyo imefanyika  Mei 25,2023 ambapo miradi minne ya  vituo vya afya  imetekelezwa kwa kiasi cha shilingi 1,900,000,000  fedha kutoka Serikali Kuu  na kimoja kimetekelezwa kwa kiasi cha shilingi 400,000,000  fedha ya makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri  na kufanya Jumla ya miradi ya ujenzi wa vituo vya afya vitano kuwa shilingi 2,300,000,000 (Shilingi Bilioni mbili na Milioni mia tatu)

Miradi ya Ujenzi wa Vituo vya afya vilivyotembelewa ni  kituo cha Afya KitamaTsh. 400,000,000,ujenzi wa kituo cha afya Mambamba Tsh.500,000,000.,ujenzi wa kituo cha afya Mihambwe Tsh.500,000,000,ujenzi wa kituo cha afya Maheha Tsh.400,000,000 na Ujenzi wa kituo cha afya Litehu Tsh.500,000,000

Dc Sawala akiwa katika ziara hiyo kuona hali halisi ya vituo hivyo amesistiza vituo hivyo kuanza kutoa huduma kwa wananchi " Nasistiza vituo hivi vianze kufanya kazi kama Mkurugenzi Mtendaji ulivyoahidi kuwa vitaanza rasmi  mwanzoni mwezi Juni na vingine Julai, 2023 hilo lisimamiwe ili wananchi wapate huduma katika vituo hivi," amesema Dc Sawala

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa