• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Tandahimba yatembelea miradi ya Maendeleo

Posted on: December 20th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tandahimba imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Ilani ya CCM ndani ya Wilaya

Akizungumza Desemba 17,2021 wakati akikagua miradi hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ndugu Omary Nang’uta ameipongeza Halmashauri kwa kusimamia miradi  hiyo lakini ameagiza kasoro ndogo ndogo ambazo zimebainika kwa baadhi ya miradi zirekebishwe

“Tunashukuru kwa jinsi mnavyoisimamia ilani ya CCM  tumeridhika na miradi hii lakini zipo kasoro ndogo ndogo ambazo tumeziona kwa baadhi ya miradi mziweke sawa,lakini wa ujumla tunaishukuru Serikali kwa miradi ya vyumba vya madarasa,vituo vya afya na barabara  ambayo wananchi wa Tandahimba tutanufaika nayo ,”amesema Mwenyekiti

Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja ya walimu shule shikizi Mpikula ambayo ilitembelewa na kamati ya siasa Wilaya

Aidha kwa upande wa barabara inayoendelea kujengwa ya kilomita 2.15 Kamati ya siasa imeshauri kuweka utaratibu mzuri ilikuweka barabara mbadala na kuzuia maji kutwama  kuepuka adha kwa wananchi hasa katika kipindi cha masika

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Mussa Gama amesema kuwa kasoro hizo ambazo zimebainika zitafanyiwa kazi ili miradi hiyo iweze kuwa bora zaidi



Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa