• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA MAENDELEO KATA YA TANDAHIMBA YACHANGIA MAHINDI KWA SHULE TANO ZA MSINGI

Posted on: June 3rd, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Tandahimba (WDC) ikiongozwa na DIwani wa Kata hiyo Mhe.Adinani Chipande imekabidhi mahindi tani moja na nusu  yenye gharama ya Tsh. 1,350,000 kwa shule tano za msingi zilizopo Kata ya Tandahimba Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ili kuamsha ari kwa wazazi kuchangia upatikanaji wa chakula shuleni

Akikabidhi mahindi hayo kwa Walimu Wakuu wa Shule ya Msingi Nandonde,Amani,Mjimpya,Matogoro na Madaba leo Juni 3,2023 katika Ofisi ya Mtendaji Kata ya Tandahimba Mhe.Chipande amesema kuwa pamoja na kuhamasisha wazazi na walezi  kuchangia  WDC imechukua hatua hiyo ili upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi ufikie  asilimia 100kwa shule za msingi na sekondari katika kata hiyo

"Mahindi haya nakabidhi kwa shule zetu tano za msingi ili wanafunzi wakifungulia shule waweze kupata chakula,tumeanza leo lakini tutaongeza mahindi mengine kila shule itapata KG 500 ambapo  shule yetu ya Sekondari Nandonde nayo itapata," amesema Diwani

Kwa upande wake Afisa Elimu Kata ya Tandahimba Mwl.Salum Mohamed ameipongeza WDC kwa kuzipatia mahindi shule hizo ambapo pia ametoa wito kwa wazazi kuchangia upatikanaji wa chakula shuleni ili wanafuzi wote wapate chakula

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nandonde Mwl. Salha Mnango  kwa niaba ya Walimu Wakuu wa shule zilizopokea mahindi hayo ameishukuru WDC na kueleza kuwa chakula ni muhimu kwa ustawi wa  wanafunzi hivyo watayahifadhi ili wanafunzi wakifungua shule waweze kupata chakula

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa