• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

"IMARISHENI USHIRIKIANO MUWAHUDUMIE WANANCHI KWA UFANISI"DED ACI.MWANZALIMA.

Posted on: October 24th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano. 


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ACI.Mariam Mwanzalima  amewataka Viongozi ngazi ya Kata kuimarisha  ushirikiano  ili kuwahudumia wananchi katika maeneo yao kwa ufanisi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa Kata ya Michenjele na Mihambwe kwa nyakati tofauti Oktoba 23,2023.

"Mkishirikiana nyie viongozi kuanzia ngazi ya Vijiji  hadi Kata mtafika mbali kwakuwa mtaweka mikakati mizuri ya Maendeleo kwenye Kata yenu hususan ya kuongeza ukusanyaji wa mapato ya vijiji na kuwawezesha wananchi  kiuchumi hususan vijana," amesema ACI.Mwanzalima.

Aidha amewasistiza  viongozi kufanya vikao  katika maeneo yao sambamba na kutoa elimu  kwa jamii kwenye Mikutano ili waweze kuunda vikundi vya uzalishaji Mali na kuibua fursa zilizopo katika maeneo yao.

Mkurugenzi  Mtendaji ACI.Mwanzalima Oktoba 23,2023 amefanya ziara ya kutembelea  Kata Michenjele na Mihambwe na kuzungumza na Viongozi wa Kata wakiongozwa na Diwani wa eneo husika na Wenyeviti wa Vijiji ambapo  pia amesikiliza changamoto zinazowabili na kuzitatua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa