• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

HATUA ZA KISHERIA ZICHUKULIWE WATAKAOBAINIKA KUHUJUMU PEMBEJEO ZA WAKULIMA

Posted on: August 23rd, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano 


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji  Ndg.Mariam Mwanzalima kuwachukulia hatua za kisheria watumishi watakaohusika kuhujumu pembejeo za wakulima

Amesema hayo leo Agosti 23,2023 katika Mkutano wa kawaida wa baraza la madiwani robo ya nne 2022/2023  uliofanyikakwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri na kuhudhuriwa na madiwani,wataalamu,viongozi wa vyama vya siasa na wananchi

" Wapo baadhi ya wananchi hawajapata pembejeo katika Kata zetu kutokana na baadhi ya watu ambao siyo waadilifu,Mkurugenzi chukua hatua kwa upande wa watumishi ambao watabainika kuhusika katika suala la kuhujumu pembejeo za wakulima," amesema Mhe.Baisa

Aidha  amemsistiza Mkurugenzi kuhakikisha watendaji wanaishi katika maeneo yao ya kazi huku akitoa wito kwa madiwani kushughulikia changamoto zinazojitokeza katika maeneo yao

Naye  Ndg.Mtaalam Mkana akifafanua suala la pembejeo kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Mifugo Kilimo na Uvuvi amesema kuwa  utaratibu umewekwa katika awamu  ya pili ya ugawaji wa pembejeo ili wakulima wapate pembejeo stahiki ambapo amesistiza kila mkulima kuchukua  pembejeo kwenye amcos ya kijiji chake

Kwa upande  wa madiwani wamepongeza taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji iliyowasilishwa katika baraza hilo na kumuahidi kumpa ushirikiano ili Tandahimba isonge mbele

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WA KAMATI YA FEDHA WILAYA YA TANDAHIMBA WAKIWA MKOANI SIMIYU NA MATARAJIO YAO KWA WANANCHI

    June 10, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 10, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa