• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri yatumia Mil 62 kununua vifaa tiba kwa ajili ya Covid - 19

Posted on: May 7th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imetumia shilingi Milioni 62 kununua vifaa tiba  mbalimbali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya Covid -19 

Vifaa hivyo vimenunuliwa kwa fedha ambazo zimetokana  na mapato ya ndani ya Halmashauri na vimekabidhiwa kwa Hospital ya Wilaya ya Tandahimba

Dc Waryuba (Kulia) akimkabidhi  Mganga Mkuu wa Hospital ya Wilaya Antpas Swai

Akikabidhi vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema kuwa vifaa hivi vitakuwa msaada ndani ya Wilaya lakini pia ni jukumu la wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya kujinga na ugonjwa wa virusi vya korona

Dc Waryuba (Kulia) akielezea  jambo (Kati)Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka(Kushoto) Mganga Mkuu  wa Hospital ya Wilaya Antpas Swai

“Nakabidhi vifaa hivi ambavyo vimenunuliwa kwa fedha za mapato ya ndani ili kupambana na maambukizi ya korona bado naendelea kuwasistiza wananchi waendelee kujikinga kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima ,kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni pamoja na kufuata maagizo yanayotolewa na  wataalamu wetu wa Wizara ya afya  ,”amesema Waryuba

Naye Mganga Mkuu wa Hospital  ya Wilaya Antpas Swai ameshukuru Halmashauri kwa jitihada ambazo wamezichukua kwa kufanikisha kupatikana kwa vifaa hivyo ambavyo ni msaada  katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya  korona

Mganga Mkuu wa Hospitali Dk Antpas Swai  (kushoto) akitoa shukrani baada ya kupokea vifaa hivyo

“Nachukua nafasi hii kushukuru Halmashauri kwa kutuletea vifaa tiba  hivi kwa ajili ya  mapambano dhidi  ya maambukizi ya virusi vya Korona  ndani ya Wilaya yetu,”amesema Dk. Swai

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa