• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yaanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyajI Mapato TAUSI

Posted on: March 13th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano 

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imeanza rasmi kutumia mfumo mpya wa kielektroniki katika ukusanyaji wa mapato ujulikanao kwa jina la Mfumo wa Tausi ili kurahisisha upatikanaji wa huduma

Akizungumzia mfumo huo Afisa Biashara Ndg.Hamis Natenda amesema kuwa mfumo huu tayari umeanza kufanya kazi ambapo sasa wafanyabiasahara wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wanaweza kupata leseni zao za biasahara popote alipo kwa wakati

“Mfumo huu ni mzuri na hautakuwa na muingiliano wa kifedha kati ya afisa na mfanyabiashara,natoa wito kwa wafanyabiashara kuanza kutumia mfumo huu wa Tausi ambao unarahisisha na kupunguza muda wa kutoka ulipo kufika Halmashauri kulipia leseni na vibali mbalimbali sasa hivi utajisajili mwenyewe  kwa kuingia ‘Tausi.tamisemi.go.tz’ na kupata leseni yako huko ulipo,”amesema Ndg Natenda

Naye Mfanyabiashara Salum Mkumba  mkazi wa Tandahimba mjini ambaye ametumia mfumo huo kupata leseni yake akiwa nyumbani ameipongeza Serikali kwa kuanzisha mfumo ambao unawapunguzia  wafanyabiashara muda wa kufuata huduma kama vile kulipia leseni na vibali vingine Halmashauri  badala yake wanajihudumia wenyewe

Mfumo wa Tausi unaendana na kasi ya mabadiliko ya kiteknolojia ambapo Kabla ya mfumo huu Halmashauri ilikuwa inatumia mfumo wa  Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS),i

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa