• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Tandahimba yavuka lengo uchanjaji wa Chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka mitano

Posted on: September 4th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imevuka lengo la kuchanja  Chanjo ya Polio Matone  watoto 46137 sawa na asilimia 113.62 wenye umri chini  ya miaka  mitano katika Kampeni ya Kitaifa ya Utoaji wa Chanjo ya Polio Awamu ya Tatu ambayo imefanyika kwa siku nne

Akitoa takwimu hizo Sptemba 4,2022 Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Dk.Grace Paul amesema kuwa b idadi hiyo imevuka lengo ambalo lilikuwa kuwafikia watoto 40607

“Kampeni imekamilika salama tumevuka lengo la kuchanja watoto zaidi ,lengo  lilikuwa kuwafikia watoto 40607 lakini sisi kwa siku nne tumechanja watoto 46137 sawa na asilima 113,”amesema Dk.Paul

Aidha  takwimu ya siku ya kwanza walichanja watoto 11090 sawa na asilimia 109.24,Siku ya pili walichanja watoto 12884 sawa na asilimia 126.9,siku ya tatu walichanja watoto 13327 sawa na asilimia 131.27 na siku ya nne ambayo ni mwisho wa Kampeni walichanja watoto 8836 sawa na asilimia 87.03

Kampeni ya Kitaifa ya Utoaji wa Chanjo ya Polio ya  Matone  Awamu ya Tatu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano (5) ilianza Septemba 1,2022 na imemalizika Septemba 4,2022

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa