• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Tandahimba yatoa Zaidi ya Tsh.Mil.35 motisha kwa walimu,wanafunzi na Shule bora

Posted on: March 3rd, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imetoa Zaidi ya shilingi Milioni 35 motisha kwa walimu ,wanafunzi na shule bora  katika maadhimisho ya Juma la Elimu ambalo limeadhimishwa Kiwilaya

Motisha hizo zimetolewa Machi 3,katika  maadhimisho ya Juma la Elimu  Kiwilaya  ambayo yamefanyika katika kiwanja  vya shule ya msingi Amani  kata ya Tandahimba Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mhe.Kanali Patrick Sawala Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba

Akisoma taarifa  kwa mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji Halmasahauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Mussa Gama  amesema kuwa motisha hizo zimetolewa kwa shule bora,walimu na wanafunzi  kwa shule za msingi na sekondari

Amesema kuwa motisha  hizo zimetolewa kwa shule za msingi zilizofaulisha kwa asilimia 100 katika  Mtihani wa PSLE mwaka 2022, shule za  msingi zenye wanafunzi Zaidi ya 40 zilizopata wastani mzuri wa ufaulu,shule zilizoongeza wastani,shule bora zilizofanya vizuri Kitaluma mwaka 2022,kata bora na wanafunzi waliofanya vizuri sambamba na vyeti vya pongezi

Kwa upande wa Shule za Sekondari wamekabidhi motisha kwa shule bora,walimu, wanafunzi,shule zilizoondoa ziro na shule zilizoongeza ufaulu ambapo wamepata fedha taslimu na vyeti vya pongezi

Akizungumza katika maadhimisho hayo ya Jumala la Elimu  Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  ametoa  wito kwa walimu kuendelea kutekeleza mikakati ya Mkoa na Wilaya ili kuongeza ufaulu Zaidi

“Nawapongeza maafisa Elimu wote kuanzia ngazi ya Wilaya  hadi kata,walimu na kila mmoja kwa nafasi yake kwa jinsi ambavyo mnafanya kazi kubwa kuhakikisha mikakati tuliyokubaliana inatekelezeka na tunaongeza ufaulu ,”amesema Dc Sawala

Maadhimisho hayo Kimkoa yatafanyika Manispaa ya Mtwara Mikindani Machi 16,2023  ambapo kauli mbiu ya Mkoa “Tuwajibike kwa pamoja,kuleta Maendeleo ya Elimu Mtwara”

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa