• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri 184 Nchini kunufaika na mradi wa BOOST

Posted on: December 23rd, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Halmashauri 184 za Tanzania bara  zitanufaika na mradi wa BOOST katika kuboresha Elimu  ya Awali na Msingi kwa kujenga miundombinu ya madarasa na matundu ya vyoo ambapo mradi  huo utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano

Akizungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili  ya kujengewa uelewa wa kusimamia miradi hiyo ya BOOST  Afisa Elimu  Mkoa wa Mtwara  Mwl. Kiduma Mageni amesema mafunzo hayo ni muhimu ili kutekeleza miradi hiyo katika viwango vya ubora na muda unaotakiwa

Mafunzo hayo yamefanyika Disemba 22- 23,2022 katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Ualimu Kawaida Manispaa ya Mtwara Mikindani na kujumuisha Halmashauri zote za Mkoa wa Lindi na Mtwara

Aidha Mwl Mageni ameeleza kuwa BOOST  ni mpango  wa kuboresha upatikanaji  wa fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu Msingi hivyo washiriki ni muhimu kusimamia  miradi hiyo ili iweze kuleta manufaa kwa Halmashauri husika

Naye Mkurugenzi wa Usimamizi wa Elimu TAMISEMI Ndg.Vicent Kayombo amewapongeza  washiriki  kwa kupata mafunzo hayo na kuwasistiza kuendelea kuhamasisha  wazazi na walezi kuwaandikisha watoto wote wenye sifa  ya kuanza Elimu ya Awali na Msingi

Mradi wa Boost ni sehemu ya mpango wa Lipa kutokana  na matokeo katika Elimu EP4R II ambao umelenga kutekeleza afua nane  muhimu kwa muda wa miaka mitano ambapo kiasi cha shilingi  trilioni 1.15 zitatumika  katika utekelezaji wa mradi wa BOOST kwa kujenga vyumba vya madarasa Elfu kumi na mbili (12000) na matundu ya vyoo katika shule elfu kumi na saba mia moja themanini na mbili (17182) katika Halmashauri zote 184

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa