• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

ECLAT DEVELOPMENT FOUNDATION WAKABIDHI SHULE YA MSINGI SHIKIZI NAMINDONDI JUU-TANDAHIMBA.

Posted on: September 28th, 2024

 Na Kitengo cha Mawasiliano.


Shirika lisilo la kiserikali la ECLAT DEVELOPMENT FOUNDATION limejanga na kukabidhi Shule Mpya Shikizi ya Namindondi Juu yenye Vyumba Vinne vya Madarasa, Ofisi Mbili na Matundu ya Vyoo 16 vyenye Thamani ya Zaidi ya Tsh.Milioni 100 katika Kijiji Cha Namindondi Kata ya Nguja .

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Michael Mntenjele ambae amekuwa Mgeni Rasmi katika hafla hiyo amewashukuru wafadhili hao kwa kuwasaidia watoto waliokuwa wakitembea umbali wa Kilomita 4 kufuata Shule nyingine ya Namindondi akiwasisitiza wazazi kuhakikisha wanawapeleka watoto Shuleni ili wapate Elimu ambayo ni haki yao ya Msingi na kuwakemea  baadhi ya wazazi wanaowazuia watoto hasa wa kike kwa sababu zisizo na Msingi.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Elimu Wilaya ya Tandahimba Mshamu Bakiri  ambae  alishirikiana na Wafadhili hao katika kujenga Shule hiyo amewashukuru kwa kuona umuhimu wa kutoa fedha na kujenga Shule hiyo Kwa ajili ya kuunga Mkono Juhudi za Serikali za kuboresha Elimu.

Aidha, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sesthenes Lihende amesema Shule  Iko kwenye Mchakato wa kusajiliwa ili Mwezi wa Januari 2025 ianze kutumika Rasmi huku akiahidi kuleta walimu wa Kutosha kwa ajili ya ufundishaji.

Katika Hafla hiyo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba Mhe.Katani Katani, Mwakilishi wa Katibu Tawala Wilaya Fransis Mkuti na wengine.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa