• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC WARYUBA:ASILIMIA 99 MAANDALIZI YA MADARASA KWA KIDATO CHA KWANZA 2021 YAKAMILIKA

Posted on: December 23rd, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Maandalizi ya wanafunzi 3656 sawa na asilimia 65 wanaotarajia kuanza  kidato cha kwanza mwaka 2021 katika Halamsahauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa upande wa miundombinu ya madarasa yamekamilika kwa asilimia 99

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba  katika ukumbi wa Mikutano wakati Akitoa tathimini  ya  hali ilivyo ya madarasa na samani baada ya kufanya ziara ya siku tatu kwa shule 28 za sekondari

Dc Waryuba akiwa kwenye ziara ya kuuangalia madarasa na samani katika sjhule za sekondari

 “Tumefanya ziara ya kuona hali halisi ya shule zetu za sekondari upande wa madarasa  kwa asilimia 99 tumefanikiwa,nampongeza Mkurugenzi kwa kufanikisha kuna  madarasa mawili yapo hatua ya boma yakimaliziwa hatutakuwa na upungufu , ila upande wa meza na viti bado tunauhitaji  naamini hili  pia Mkurugenzi atalisimamia na wanafunzi wa kidato cha kwanza watasoma katika mazingira mazuri,”amesema DcWaryuba


Dc Waryuba akionyesha kiti na meza vya chuma  na kusistiza vitengenezwe vya aina hiyo

Aidha  amesema  katika ziara hiyo imebainika kuwa kati ya meza3,656 na meza 3,656  zinazohitajika kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza vilivyopo ni meza 1,164 na viti 1,104  upungufu uliopo ni  meza 2,492 na viti 2552  ametoa maagizo katika kata  ambazo sekondari hizo zipo kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaporipoti   madarasa  yawe na samani hizo

Naye Mkurugenzi Mtendaji  Said Msomoka ambaye aliambatana na Dc katika ziara hiyo amesema jukumu la samani atalisimamia  ili  ifikapo January wanafunzi wa kidato cha kwanza wakae  katika mazingira rafiki

Dc Waryuba (kushoto)  na Mkurugenzi Mtendaji Ndg Msomoka wakiangalia taarifa mbalimbali za shule

“Kwa upande wetu mwaka jana tuliweza kuongeza madarasa zaidi ya 80 ndiyo maana mwaka huu hatujapata changamoto ya madarasa,hivyo nguvu tunaelekeza kwenye samani naamini tutalimaliza ifikapo Januari,”amesema Msomoka


Mkurugenzi Mtendaji  ndg Msomoka   akimsistiza jambo  Mkuu wa shule ya Sekondari ya Mdimba

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa