• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC Waryuba: Watendaji wa Mahakama watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili

Posted on: February 6th, 2020

Pichani: Watumishi wa Mahakama wilayani Tandahimba wakiwa katika picha ya pamoja kwenye kilele cha siku ya sheria

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Sebastan Waryuba amewataka watendaji wa mahakama  wafuate maadili ya kazi zao ili kuwezesha shughuli za mahakama  kuendeshwa bila viashiria vya rushwa.

Akizungumza siku ya Kilele cha maadhimisho  ya Sheria   ambayo  yamefanyika leo katika viwanja vya  Mahakama ya wilaya ya Tandahimba  alieleza kuwa  watendaji hao wasitoe  nafasi kwa wananchi kuwaona ni kikwazo katika kesi zao.

“Watendaji fanyeni kazi kwa uadilifu   ili kuepuka mianya ya rushwa, kwa kufanya hivyo mtakuwa mnajenga Imani kubwa  kati ya wananchi  na ninyi hususani makarani”,alisema Waryuba

Aidha amewaomba wawekezaji  kuja kuwekeza katika Wilaya ya Tandahimba  kwakuwa maeneo yapo  mazuri kwa uwekezaji wa kibiashara kama kauli mbiu ya siku ya sheria inavyohamasisha uwekezaji.


Naye Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Tandahimba  Mhe. Joseph Waruku alieleza kuwa mabadiliko ya sera ya mara kwa mara huwa hayawavutii  wawekezaji  na hivyo kushindwa kuwekeza katika sekta mbalimbali hususan viwanda.

“Sera zinavyobadilika badilika  huwa haziwavutii wawekezaji  na kuona kuwa kama ni kikwazo kwa upande wao ,lakini  sisi kama mahakama  tupo katika kipindi cha maboresho  ya huduma zetu,”alisema  Hakimu Waruku

Hata hivyo Mwenyekiti wa Mawakili wa Kujitegemea Wilaya ya Tandahimba Abdallah  Makongoro  alibainisha kuwa  uwepo wao katika Mahakama kunawezesha  wananchi kupata huduma  kwa wakati hali inayopelekea kuleta faraja kwa wananchi.

Mamia ya Wananchi wilayani Tandahimba wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa wilaya ya Tandahimba (Pichani hayupo)

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WA KAMATI YA FEDHA WILAYA YA TANDAHIMBA WAKIWA MKOANI SIMIYU NA MATARAJIO YAO KWA WANANCHI

    June 10, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 10, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa