• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Waryuba : Samani hizi zitawasaidia wanafunzi wetu

Posted on: April 1st, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba  amepokea madawati 50 yenye thamani ya shilingi Milioni  5 kwa ajili ya shule ya msingi Matogoro

Kaimu Afisa Elimu Msingi bi. Hilda Tamba(kushoto) akiwa pamoja na wanafunzi,wafanyakazi wa benki ya Nmb na mmoja wa walimu wa shule hiyo

Akipokea madawati hayo ambayo amekabidhiwa na Benki ya Nmb tawi la Tandahimba amesema kuwa  madawati hayo yatawasaidia wanafunzi  kusoma katika mazingira rafiki kwakuwa bado wanauhitaji wa madawati katika shule za msingi

Dc Waryuba akitoa neno kwa kamati ya shule ya msingi Matogoro

“Tunaishukuru Benki ya NMB kwakushiriki katika kuchangia huduma za kijamii,Madawati haya yatapunguza uhaba wa madawati kwa shule yetu na  itawaongezea ari wanafunzi kusoma kwa bidii kitu muhimu ni kuhakikisha yanatunzwa ili wengine waweze kuyatumia,”amesema DcWaryuba

Meneja  wa Nmb tawi la Tandahimba bi. Julieth Ndazi akimkabidhi Dc Waryuba madawati

Akikabidhi madawati hayo kwa niaba ya Meneja wa Kanda yaw a NMB,Meneja wa benki ya Nmb Tawi la Tandahimba Julieth Ndazi amesema kuwa ni utaratibu wa benki ya NMB kutoa asilimia moja ya faida na kuirudisha kwa jamii ambapo fedha hizo hutumika kutengeneza samani katika sekta ya Elimu,afya na majanga yanapotokea

Meneja wa Nmb Tawi la Tandahimba bi Julieth Ndazi akisoma taarifa fupI kwa Dc Waryuba

“Sisi NMB tupo karibu na wananchi wa Tandahimba kwa kutambua kuwa wateja wetu wakubwa ni wakulima hivyo faida tunayoipata tunairudisha kwa jamii ili kuboresha huduma kwenye sekta ya elimu,afya na majanga pale yanapotokea ndani ya Wilaya,”amesema bi. Ndazi

Madawati 50 ambayo yamekabidhiwa kwa shule ya msingi Matogoro na benki ya Nmb

Naye Kaimu  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Sosthenes Luhende ameishukuru benki hiyo kwa kushirikiana na Halmashauri katika sekta ya Elimu ambapo kila mwaka hutoa samani kwa shule za Msingi na sekondari

Afisa Elimu Sekondari Sosthenes Luhende akitoa neno kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa