• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC Waryuba azindua zoezi la ugawaji dawa za Minyoo Tumbo kwa wanafunzi wa S/M

Posted on: March 3rd, 2020

Na Kitengo Cha Habari na Mawsiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amezindua  zoezi la  Ugawaji dawa za minyoo tumbo kwa  watoto wenye umri wa kwenda shule ambapo wananfunzi 62726 wanatarajiwa kupewa dawa hizo 

Akizundua zoezi hilo katika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa  viongozi wa dini ndani ya Wilaya wanajukumu la kuwaelewesha wananchi kupitia nyumba za ibada kuhusu zoezi hilo kwakuwa baadhi ya wananchi wana Imani potovu kuhusu dawa hizo

“Zoezi hili linaanza  tarehe tisa lakini viongozi wa dini  mna jukumu la kuwaambia waumini katika nyumba za ibada umuhimu wa dawa hizi kwa watoto ,mkitusaidia huko katika nyumba za ibada zoezi hili litakuwa rahisi  zaidi ,”amesema Waryuba

Aidha amewataka wananchi kutowazuia watoto  kupewa dawa hizo kwakuwa hazina madhara ila zina umuhimu katika kuwalinda na minyoo tumbo kutokana na mazingira ya watoto na ulaji wao  ambao hawana utaratibu katika mazingira ya shule

“Ugonjwa wa minyoo tumbo unawasumbua watoto  kwakuwa ulaji wao kwa umri huo uanakuwa ni wa ovyo  hivyo dawa hizi  zina umuhimu ili kuwakinga na maradhi ya minyoo tumbo ili waendelee kuwa na afya njema,”amesema Waryuba

Naye Mratibu wa afya  ya uzazi na mtoto Hospital ya Wilaya  Tandahimba Emily Lutandika  amesema kuwa katika zoezi hilo wanatarajia kuwapatia dawa za minyoo tumbo wanafunzi 62726 kwa Wilaya yote ambapo wavulana ni 31731 na Wasichana 30995

Amesema usambazaji wa dawa utaanza rasmi leo ili kuwawezesha  itakapofika tarehe 9 walengwa hao ambao ni wanafunzi wa shule za msingi 

 kuanzia darasa la kwanza hadi la saba waweze kupewa dawa hizo kwa wakati

“Zipo changamoto ambazo tunakutana nazo kwa wazazi kuwakataza watoto wao kutokunywa dawa kwa kuwa na Imani potofu kuwa zinasababisha ugumba dhana amabayo si sahihi ,lakini pia katika  ugawaji wa dawa hizi wapo  watoto waliopo majumbani 4260 nao watapatiwa dawa hizo,”amesema Lutandika

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa