• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Waryuba afurahishwa na mahudhurio ya wanafunzi shule za msingi na Sekondari

Posted on: July 3rd, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amefurahishwa na mahudhurio ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari  baada ya kukaa kwa muda wa miezi mitatu nyumbani  kutokana na Homa kali ya mapafu (Covid – 19)

Hilo limebainishwa na Dc Waryuba   alipofanya ziara ya kutembelea  shule  za sekondari na Msingi  ili kuangalia mahudhurio ya wanafunzi na  hatua zinazochukuliwa  kujikinga na Covid – 19 baada ya kurudi likizo ya dharura iliyosababishwa na Covid - 19

Mkuu wa Wilaya Sebastian Waryuba alipotembelea  shule ya msingi Tandahimba

“Nimeridhishwa sana na mahudhurio  haya ya wanafunzi katika shule  za msingi na Sekondari,kwakweli kila shule ambayo nimetembelea asilimia 85 wameripoti shuleni,na kila shule nimeona  maji tiririka  na sabuni kwa ajili ya watoto kunawa,nimefarijika sana,”amesema Waryunba

Mwanafunzi wa shule ya msingi Tandahimba akinawa maji tiririka na sabuni kujikinga na Covid -19

Aidha ametoa wito kwa walimu wakuu kuhakikisha wanafuatilia walimu wa madarasa ili kuweza kuangalia endapo kuna mwanafunzi mwenye shida yoyote ya kiafya

Naye Mkuu wa shule Sekondari ya Milongodi  Donald Mchawa amesema kuwa katika shule yake  wanafunzi ambao wameripoti  ni asilimia 89  kwa kidato cha kwanza hadi cha nne na walimu wote wameripoti shule

Sekondari ya Milongodi  wameweka maji  tiririka  kwa ajili ya wanafunzi kunawa

“Tangu niwe Mkuu wa shule kwa miaka sita hapa mahudhurio ya wanafunzi kuripoti  kwa wingi namna hii sijawahi kuona, nasisi tumejiandaa kuwafundisha   na kuwapa mazoezi ambayo yatachangia akili ziwe shule,”amesema Mchawa

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa