• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala awataka mafundi kuongeza kasi ili kukamilisha miradi kwa wakati

Posted on: November 15th, 2021


Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  amewataka mafundi viongozi katika miradi ya Elimu na Afya  kuongeza ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati

Dc Sawala (wa pili kulia) akipima ukubwa wa darasa katika shule ya sekondari Mweminaki,wa kwanza kushoto  Katibu Tawala Wilaya Juvenile Mwambi,Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Mussa Gama(wapili kushoto)

Dc Sawala akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama  Mkurugenzi  Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Mussa Gama  na wakuu wa Idara na Vitengo ameyasema hayo alipofanya ziara ya kukagua miradi hiyo  mwishoni mwa wiki ambayo Serikali imetoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wake

 “Miradi hii nahitaji ikamilike kwa wakati,mafundi viongozi ongezeni nguvu ya mafundi  ili twende na kasi tukamilishe kwa wakati,naamini muda ambao tumejiwekea kukamilisha miradi hii  tutafanikiwa,”amesema Dc Sawala

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Sawala akisistiza jambo kwa mafundi wa kituo cha afya cha Tarafa ya Mihambwe

Naye Mkurugenzi Mtendaji  ndugu Mussa Gama amewasistiza mafudi kuhakikisha  wanafanya taratibu za malipo mara wanapomaliza  hatua moja ili kupata malipo yao kwa wakati muafaka

Mkurugenzi Mtendaji ndg Gama (wakwanza kushoto)akipitia nyaraka za mradi wa vyumba vitano vya madarasa shule ya sekondari Michenjele

“Mafundi hakikisheni mnakamilisha taratibu za malipo mara unapomaliza hatua moja kwa kuwa Serikali ina utaratibu wake kwenye malipo siyo unamaliza leo unataka na fedha siku hiyo hiyo ni ngumu,fanya utatibu mapema ili unapomaliza kazi hiyo unapata na fedha yako unaendelea na hatua inayofuata,”amesema Mkurugenzi

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imepata shilingi Bilioni 1.76 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 82 kwa shule za sekondari,na shule shikizi vyumba 6 ,pia imepokea shilingi Milioni 750 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya katika Tarafa tatu  fedha zote zimetolewa na Serikali  ya awamu ya sita

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa