• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala awahimiza vijana kushiriki katika shughuli za Maendeleo

Posted on: June 23rd, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasailiano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amewataka vijana kushiriki katika shughuli za maendeleo hususan kilimo na miradi inayoendelea katika  maeneo yao

Ameyasema hayo leo Juni 23,202 wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mihambwe kuhusu masuala mbalimbali ikiwa pamoja na kusikiliza kero zao ambapo kabla ya kikao hicho alifanya mkutano na viongozi wa dini wa kata hiyo

Viongozi wa dini kata ya Mihambwe wakimsikiliza Dc Sawala(hayupo pichani)

“Vijana mshiriki katika shughuli za maendeleo msiwaachie  wazee  na akina mama waende shambani peke yao hii siyo sawa,lakini pia mshiriki katika shughuli za maendeleo ambazo zinafanyika katika maene yenu kama vile ujenzi wa vituo vya afya,hii ni miradi yenu ushiriki wenu ni muhimu,”amesema Dc Sawala

Wananchi wa Kata ya Mihambwe wakiwa katika Mkutano  wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya (hayupo pichani)

Aidha ametoa wito kwa wananchi kuendelea  kudumisha amani katika maeneo yao sambamba na vijana kushiriki katika ulinzi shirikishi  kwa kuanzisha sungusungu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa maeneo lakini pia amewahamasisha wananchi kushiriki Sensa ya watu na makazi Agosti 23,2022 kwa maendeleo ya Wilaya na Taifa kwa ujumla

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndugu Mussa Gama amewahimiza wananchi kuunda vikundi ili wapate mikopo ya asilimia 10 ya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kukuza kipato

Ndugu.Mussa Gama Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba akieleza jambo kwa wananchi wa Mihambwe

Amesema kuwa mikopo hiyo haina riba hivyo jukumu kubwa ni kuhakikisha wanao pata mikopo irejeshwe kwa wakati ili wengine nao waweze kupata

Aidha Mkurugenzi amewaeleza wananchi wa kata hiyo kuwa ukarabati wa shule ya msingi Ruvuma ambayo ni miongoni mwa shule tisa ambazo miundombinu yake iliharibiwa na mvua  utaanza hivi karibuni                                                                                                                                                                                                                                                                                    

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MFUKO WA ELIMU October 31, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Soma

Habari mpya

  • Vijana Tandahimba washiriki upandaji miti na usafi wa mazingira

    March 21, 2023
  • Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yaanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyajI Mapato TAUSI

    March 13, 2023
  • Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akabidhi Pikipiki 64 kwa maafisa Ugani Tandahimba

    March 10, 2023
  • Serikali itaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi

    March 08, 2023
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa