• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC Sawala atoa siku saba kwa wazazi na walezi wasiopeleka wanafunzi kuripoti shule kuchukuliwa hatua kali za kisheria

Posted on: January 17th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala ametoa siku saba hadi kufikia Jumatatu Januari 23,2023 wazazi na walezi wasiowapeleka wanafunzi wa kidato cha kwanza,walisajiliwa darasa la kwanza na awali hatua kali za kisheria  zitachukuliwa dhidi yao

Amesema hayo Januari 17,2023 wakati wa ziara ya ufuatiliji wa maendeleo  katika shule za sekondari  ambapo timu tatu za viongozi wa Wilaya zikiongozwa na Dc  zinapita kata hadi kata shule hadi shule kuangalia hali ya uripoti wa wanafunzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

“Watendaji wa Kata ,vijiji na wenyeviti katika maeneo yenu hakikisheni wanafunzi wanaotakiwa kuripoti shule wakaripoti shule natoa siku saba hadi jumatatu asiyeripoti hatuakali za kisheria zichukuliwe kwa wazazi na walezi wa wanafunzi,”amesistiza Dc Sawala

Aidha katika ziara hiyo amesistiza upatikanaji wa chakula shuleni kwa wanafunzi wote sambamba na kuhakikisha hakuna mdondoko au utoro kwa wanafunzi hususan wanafunzi wa sekondari

“Mkakati wa Wilaya wa kila shule kulima mazao ya chakula  uendelee ili wanafunzi wapate chakula shuleni,uongozi wa  kata  hakikisheni mnapata orodha ya wanafunzi watoro ili wahudhurie shule,mdondoko huu wa wanafunzi usiwepo katika maeneo yetu,”amesema Dc

Kwa upande wa madiwani  wa kata ambazo zimetembelewa wameahidi  kushirikiana na uongozi wa kata zao ili wanafunzi waripoti shule,ziara hiyo ya siku tatu imeanza Januari 17-19,2023 ambapo shule zote zitatembelewa


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MFUKO WA ELIMU October 31, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • Soma

Habari mpya

  • Vijana Tandahimba washiriki upandaji miti na usafi wa mazingira

    March 21, 2023
  • Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yaanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyajI Mapato TAUSI

    March 13, 2023
  • Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akabidhi Pikipiki 64 kwa maafisa Ugani Tandahimba

    March 10, 2023
  • Serikali itaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi

    March 08, 2023
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa