• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala asistiza wanafunzi Tandahimba kuongeza juhudi kwenye masomo

Posted on: July 15th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya  ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amewataka wanafunzi  wa darasa la saba kuongeza jitihada kwenye masomo ili waweze kufanya vizuri kwenye mitihani yao na kuendelea na Elimu ya sekondari

Ameyasema hayo leo Julai 15/2021 wakati alipotembelea shule ya msingi Amani na kueleza kuwa  wasikubali kushawishiwa kutofanya vizuri katika masomo kwa sababu yoyote ile ili waweze kufikia malengo yao

“Natumaini mmejiandaa vizuri,ongezeni juhudi katika masomo usikubali mtu yoyote akushawishi ufanye vibaya katika masomo ili usiendelee na masomo,huyo anataka ndoto zako za mafanikio zisifanikiwe ,”amesema Dc Sawala

Aidha Dc Sawala ameongea na walimu wa shule hiyo na kuwasistiza kuendelea kutimiza majukumu yao ili wanafunzi waweze kufanya vizuri kwenye masomo na kuongeza ufaulu  kwa wanafunzi wa madarasa yenye mitihani

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ndg Yusuph Ulaya  amesema walimu wamejipanga kiufundishaji na wanaendelea kutekeleza majukumu yao kama kawaida ,kwa madarasa yenye mitihani wameweka utaratibu unaofaa


Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Walimu ,Bi Logisiana Mbawala amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa   kuwatembelea na kuongea nao wamemuahidi kuendelea kutekeleza majukumu yao ipasavyo ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa