• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala asema Watakaouza pembejeo inayotolewa na serikali kukiona cha moto

Posted on: July 13th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amesema hatua kali itachukuliwa kwa yoyote atakebainika kuuza pembejeo zinazotolewa na serikali kwa wakulima katika vyama vya msingi

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wazee wa Wilaya ya Tandahimba katika ukumbi wa mikutano  wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba,amesistiza kuwa pembejeo hizo zimetolewa na serikali ili kumsaidia mkulima kupuliza mikorosho  kuongeza uzalishaji

“Serikali ina nia njema kwa wakulima lakini wapo watu siyo waamifu wananchukua pembejeo  kwenda kuuza,atakayebainika hatutaweza kumvumilia tutamchukulia hatua kali na  vyama vya msingi zingatieni  kuwa pembejeo hizi ni kwa ajili ya wakulima ambapo idadi yao mnayo,”amesema Dc Sawala

Katika mkutano huo Dc Sawala amezungumzia masuala ya afya,kilimo,ushirika,Elimu,mikopo ya vikundi na ulinzi na usalama,akizungumzia elimu amesema kuwa  jamii inatakiwa kusimama pamoja kukomesha utoro na kuwasistiza watoto kuhudhuria shule ili waweze kupata matokeo mazuri

“Naamini tukishirikiana  tutapandisha ufaulu wa watoto wetu kuanzia shule za msingi hadi sekondari,najua baadhi ya wazee mnaishi na wajukuu msiwaache wakae nyumbani wasistizeni umuhimu wa elimu,”amesema DcSawala

Aidha katika suala la Kilimo na ushirika amesitiza wananchi kuendelea kulima mazao  mchanganyiko  na kuongeza zao la ufuta kuwa zao la kibiashara  kukuza kipato pia amesistiza viongozi wa vyama vya msingi kuwa waaminifu

Dc Sawala ameendelea kuwahimiza wananchi kuendelea kuchukua tahadhari zote zinazotolewa na Wizara ya Afya nchini  dhidi ya ugonjwa wa korona sambamba na kuendelea  kulinda amani na utulivu  ndani ya Wilaya

Naye Katibu wa Wazee Wilaya ya Tandahimba ndugu Rashid Kapera amesema  kuwa mkutano huo umeleta taswira mpya kwa wazee na wananchi wa Tandahimba kwa pamoja kwa ushirikiano  maendeleo yataendelea kuimarika

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa