• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala aridhishwa na Utekelezaji wa afua za lishe ngazi ya kata

Posted on: August 7th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano 

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amesema ameridhishwa na utekelezaji wa afua za lishe ngazi ya kata

Ameyasema hayo leo Julai 7,2022 katika kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe ngazi ya kata katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri

Watendaji wa kata wakiwa katika kikao cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe

“Nawapongeza sana  kata zote kwa kusimamia jukumu la lishe katika maeneo yenu na kupata alama asilimia mia,hapo mmetekeleza majukumu yenu,mmeitendea haki jamii mnayoingoza na nafasi zenu za usimamizi,”amesema Dc Sawala

Amesema kuwa Watoto wenye lishe bora na afya bora wana uwezo mzuri katika masomo yao na hivyo kutengeneza kizazii bora ambacho kinaweza kusimamia rasilimali za nchi yetu

 “Mmefanikiwa kusimamia Watoto wetu wasipate  udumavu na utapiamlo kwa kusimamia afua za lishe katika maeneo yenu,ongezeni jitihada pia muwatembelee akina mama wajawazito waliopo katika maeneo yenu,”amesema Dc Sawala

Naye Dkt.Joselyne Kalikawe Mratatibu wa Lishe Wilaya ya Tandahimba amesema kuwa katika Kata zote 32 utekelezaji wa afua za lishe zimefanyika kwa asilimmia mia moja(100%)

Mratibu Lishe Wilaya ya Tandahimba Dkt.Joselyne Kalikawe akifafanua jambo kwa watendaji Kata

Mratibu ameendelea kuwasistiza  wazazi,walezi kuhakikisha wanazingatia lishe bora kwa Watoto lkn pia kutoa ushirikiano ili wanafunzi waendelee kupata  chakula  shuleni kwa asilimia mia moja

Aidha naye Mtendaji wa Kata ya Mkoreha Anifa Shankupa amesema kuwa wataendelea kusimamia afua za lishe katika kata zao ili kuepuka udumavu na utamialo kwa Watoto

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WA KAMATI YA FEDHA WILAYA YA TANDAHIMBA WAKIWA MKOANI SIMIYU NA MATARAJIO YAO KWA WANANCHI

    June 10, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 10, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa