• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala aridhishwa na maendeleo ya operesheni ya anwani za makazi

Posted on: March 20th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya yaTandahimba Mhe Kanali Patrick Sawala amesema kuwa  anaridhishwa na maendeleo ya operesheni ya Kitaifa ya anwani za makazi ambayo inaendelea ndani ya Wilaya

Ameyasema hayo kwenye ziara yake  inayoendelea katika kata zote 32 zilizopo ndani ya Wilaya  kukagua utekelezaji  wa miradi ya maendeleo na maazimio ya Wilaya na Mkoa  katika sekta ya kilimo,elimu na operesheni ya anwani ya makazi

Dc Sawala katika ziara hiyo  anapokea taarifa na kukagua  hali ya usaili wa wanafunzi wa darasa  la  awali na kidato cha kwanza,hali ya udahili kwa kidato cha kwanza 2022,hali ya chakula  shuleni,mikakati ya  kupandisha ufaulu,uwepo wa mashamba ya mazao ya chakula na  alizeti kila shule,utekelezaji wa miradi katika kata husika na operesheni ya anwani za makazi

“Naridhishwa kabisa na zoezi hili la anwani za makazi ambalo linaendelea ndani ya Wilaya yetu,kila ninapopita naona kazi imefanyika vibao vimewekwa na namba  zimeandikwa kwenye nyumba inanipa faraja sana ,nachukua nafasi hii kuwapongeza viongozi kuanzia wenyeviti wa vitongoji hadi wa kata kwa ushirikiano wenu,natumaini tutakamilisha zoezi hili kwa wakati muafaka,”amesema Dc Sawala

 

Aidha amesema kuwa hali ya chakula shuleni inaridhisha kuanzia shule ya awali hadi sekondari japokuwa kuna baadhi ya maeneo hawapati wanafunzi wote na ametoa maagizo kuhakikisha wanafunzi wote wanapata chakula shuleni,lakini pia amepongeza shule  kwa kuanzisha mazao ya vyakula na mazao ya biashara katika maeneo yao ambayo yatasaidia wananfunzi kujifunza kazi za kilimo na shule kupata chakula 

“Kuna  mikakati ambayo tuliazimia katika vikao vyetu nafarijika kuwa mnaitekeleza,katika suala la kilimo endeleeni kuwaelimisha wakulima waweze kulimia  mashamba yao ya korosho ili maji yaweze kuingia vizuri  ili kuongeza uzalishaji lakini katika miradi bado inachelewa chelewa hakikisheni inakamilika kwa wakati,”amesema Dc Sawala

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba anaendelea na ziara ya kutembelea kata zote 32 zilizopo Wilaya ya Tandahimba



     



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa