• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala aongoza kikao kazi cha anwani za makazi kwa Watendaji wa kata,vijiji na maafisa tarafa

Posted on: February 16th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  amesema kuwa anwani za makazi zina umuhimu mkubwa ikiwemo kuboresha huduma za kijamii  na amewasistiza watendaji kusimamia zoezi hilo ili liweze kukamilika kwa wakati

Ameyasema hayo leo Februari 16,2022 wakati akifungua kikao kazi  cha watendaji wa kata,vijiji na maafisa tarafa   kwnye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ili kuwajengea uwezo wa kutekeleza zoezi  la anwani za makazi

“Niwaombe watendaji mkatimize wajibu wenu katika kutekeleza jukumu hili kwa wakati Kuna faida nyingi sana za anwani za makazi  ikiwemo kuboresha huduma za kijamii  na nyingine nyingi hivyo likikamilika kwa wakati itarahisisha  shughuli nyingine,”amesema Dc Sawala

 

Naye Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmasahauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndugu Mussa Gama amesema  kuwa   yale ambayo wawezeshaji wameelekeza katika kikao hicho wakayazingatie ili yaweze kuwasaidia kukamilisha kazi hiyo kwa wakati

‘Naamini zoezi hili tutafanikiwa kukamilisha kwa wakati na  kila mmoja atayatekeleza yale ambayo tumekubaliana  ili tukayasimamie  na kuleta mafanikio chanya ,”amesema Mkurugenzi 

Naye Mwenyekiti wa kamati ya anwani za makazi  ndugu Nasibu Namkuna amewaeleza kuwa  ili waweze kufanikisha   zoezi hilo ushirikiano kati ya mwenyekiti wa kitongoji,mtendaji wa kijiji na mtendaji wa kata unatakiwa uwe mkubwa ili kuweza kufikia malengo 

Nao Watendaji wa kata kwa nyakati tofauti wamesema kuwa kikao hicho kimewajengea uwezo wa kutekeleza jukumu hilo kwa ufasaha  na wakati katika maeneo yao

 

  

  




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa