• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dc Sawala akagua miradi ya Maendeleo

Posted on: August 26th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Kanali Patrick Sawala akiwa pamoja na kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na timu ya Menejimenti  amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo

Katika ziara hiyo ambayo imefanyika Agosti 26,2022 Dc Sawala amesistiza miradi hiyo ikamilike kwa wakati na ubora unaotakiwa ili  iweze kutumika

Miradi ambayo imetembelewa ni Shule Ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya Msingi Mji Mpya,Ujenzi wa nyumba za watumishi (3 in 1) katika eneo la Hospital ya Wilaya,Ujenzi wa Kituo cha Afya Kitama,Ujenzi wa Shule ya  Sekondari Litehu,Ujenzi wa Kituo cha Afya Litehu

Aidha amekagua mradi wa  ujenzi wa shule ya Sekondari Mndumbwe,Kituo cha Afya Mambamba,mradi wa Maji Lipalwe

Dc Sawala amesema maendeleo kwa ujumla ni mazuri, ambapo asilimia kubwa ya miradi ipo katika hatua za umaliziaji na  mradi wa maji wa Lipalwe ambao umekamilika.mbao umekwisha malizika  litehu ambacho kipo katika hatua za kati pia mradi wa maji wa lipalwe ambao umekwisha ish

Aidhaj amewataka wasimamizi wa miradi kuandaa ripoti inayoonyesha matumizi ya fedha ambazo zilitolewa kwa ajili ya uendeshaji wa kila mradi, piasii wa i wa miradiazo zilitpsewa kwa ajili ya uendeshaji wa kila mrsadi a kutembelea katika miradi yao mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazokwamisha miradi hiyo kuto kamilika kwa wakati ili kuweza kuzitatua kwa wakati.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa