• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

Posted on: February 18th, 2025


*Awasistiza Kusajili na Kuhuisha taarifa za wakulima kwa Usahihi

Mkuu wa Wilaya Tandahimba Kanali Michael Mntenjele amekabidhi Vishkwambi 51 kwa Maafisa Ugani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba huku akiwasistiza Kusajili na Kuhuisha taarifa za wakulima kwa usahihi  ili kupata takwimu sahihi zitakazoisaidia Serikali katika mipango yake mbalimbali ikiwa pamoja na ugawaji wa pembejeo kwa Wakulima


Akizungumza kwenye mafunzo ya usajili  na Uhuishaji wa taarifa za wakulima kwa  Maafisa Ugani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba leo Februari 18,2025 yaliyoandaliwa na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) amesema ili kupata taarifa sahihi wahakikishe wanakwenda mashambani  lakini pia washirikiane na  Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji wa maeneo husika.


" Rai yangu kwenu mkashirikiane na Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji ili mpate  taarifa sahihi, mna vifaa hivi mkavitunze ,nendeni mashambani na mfanye kazi kama timu ili muweze kuwafikia wakulima wote,lengo la Serikali ni  kuongeza uzalishaji wa zao la korosho," amesema DC Mntenjele


Kwa upande wake Afisa Kilimo wa Bodi ya Korosho  Ndg.Chuma Mpore amesma baada ya mafunzo hayo Maafisa Ugani wataanza kusajili  na kuhuisha taarifa za wakulima  kwenye maeneo yao


#Tandahimba tumejipanga kazi zinaende

lea

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa